Since 2019
Kuhusu Sisi
Karibu PASS Leasing PASS Leasing
PASS Leasing Company Limited ni kampuni inayomilikiwa kikamilifu na PASS TRUST, iliyosajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni ya Tanzania na inasimamiwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
Dira
Kuwa taasisi bora ya ukodishaji inayoboresha maisha ya wajasiriamali wadogo na wa kati wa kilimo nchini Tanzania.
Dhamira
Kuwezesha minyororo ya thamani ya kilimo kufikia uwezo wake wa juu kupitia upatikanaji na matumizi ya teknolojia endelevu.
Lengo
Kuwa kinara na mtoa huduma bora wa fedha za ukodishaji katika sekta ya kilimo.
5+
Miaka
Uzoefu Wetu
300+
Nchi Nzima
Wataalamu wa Kilimo
800+
Projects
Miradi Iliyokamilika
1300+
Clients
Wateja Walioridhika
Huduma
Mitambo ya Kilimo
Comprehensive leasing solutions tailored to your needs
Ofisi Zetu
Find Us
Head Office
Dar es Salaam, Tanzania
+255 123 456 789
info@passlease.co.tz
Timu Yetu
Timu ya PASS Leasing
Wasambazaji
Our Trusted Partners